LIKIZO EXPERIENCE 2026...Coming Soon
"Triple S Incorporated Tanzania Limited By Steven Sandhu & Co"
Tuesday, February 3, 2026
LIKIZO EXPERIENCE
LIKIZO EXPERIENCE 2026...Coming Soon
FILM / MUSIC / FASHION / EXHIBITION / ART / SPORTS / TOURISM
ELECTRIFIED
Saturday, November 22, 2025
LIKIZO EXPERIENCE...Coming Soon
FILM / MUSIC / FASHION / EXHIBITION / ART / SPORTS / TOURISM
ELECTRIFIED
Tuesday, September 23, 2025
WORLD CLEAN UP DAY 20 SEPTEMBER, MWANANYAMALA REGIONAL HOSPITAL
DECEMBER
ER LIKIZ
FESTIV
L
This is our First of many series of CORPORATE SOCIAL RESPONSIBILITY (CSR) participation event on the ROAD TO THE MIGHTY
DECEMBER
ER LIKIZ
FESTIV
L
event about to EMBARKING again later this year.


DLF By Triple S INC.
ELECTRIFIED
Thursday, September 11, 2025
Monday, August 29, 2016
Friday, August 19, 2016
Wednesday, December 31, 2014
Thursday, October 30, 2014
Tuesday, April 8, 2014
MAISHA PLUS
Msimu wa nne wa show ya ukweli MAISHA PLUS unaendelea kuruka TBC1 kila siku jumatatu mpaka jumapili saa nne kamili usiku huku shindano hilo kwa mwaka huu limepewa jina la MAISHA PLUS REKEBISHA.Washiriki wanaendelea kuREKEBISHA
kama kauli mbiu ya shindano inavyosema,tukumbuke mwaka huu nchi nne
zimeshiliki na mwisho wa shindano hili kijana mmoja atajinyakulia kitita
cha tsh25m na katika MAMA SHUJAA ambayo hivi karibuni
wamama mbalimbali wakulima wadogo wadogo wataungana na vijana wa maisha
plus kijijini na mmoja wao ataondoka na pembejeo za KILIMO zenye thamani ya tsh10m.
Thursday, April 3, 2014
hayawi hayawi...
Baadhi ya hizi sura zitaonekana sana katika kazi za FILAMU zinazokuja kutoka TRIPLE S INC. hivi karibuni,akiongea na blog hii meneja masoko wa kampuni iyo bwana ISACK JOHN amesema kampuni ya TRIPLE S INC. imejiandaa kikamilifu kuwaletea WATANZANIA burudani kemkem na za kutosha kutoka katika kampuni yao.Bw ISACK JOHN akuishia hapo bali aliwataja baadhi ya wasanii watakaoonekana sana katika FILAMU zao za hivi karibuni kwamba ni JUMA NKWABI,NANCY MANONGI,NANZA MBUJI,CHUCHU HANS,SULEIMAN BARAFU na wengine wengi bila kumsahau mkurugenzi wa kampuni iyo bw STEVEN SANDHU.
Wapenzi wa filamu kaeni tayari...
Wapenzi wa filamu kaeni tayari...
Wednesday, April 2, 2014
tunarudi kwa kishindo...
Niwaombe radhi wafuatiliaji katika blog hii kwa ukimyaaa mwingi uliokuwepo hapo nyuma,kuanzia leo tutakuwa tunakupa habari kemkem kutoka hapa.endelea kutufuatiliaaa please...
Asanteni sana.
Asanteni sana.
Tuesday, July 30, 2013
coming soon..
MUDA WA KAZI SASA.
August:DAR ES SALAAM FASHION WEEK.
December:DECEMBER LIKIZO FESTIVAL 2013.
stay tuned...
August:DAR ES SALAAM FASHION WEEK.
December:DECEMBER LIKIZO FESTIVAL 2013.
stay tuned...
Friday, June 21, 2013
8 DAYS TO GOOOOOOOOOOOOO...
Ni siku nane tu zimebaki kuushuudia ule usiku wa
FAUSTINE FASHION NIGHT
KARIBUNI SANA wadau wote wa mitindo na tasnia zingine. pale REGENCY PARK HOTEL(MIKOCHENI) siku ya jumamosi tarehe 29th june 2012.
THANKS.
FAUSTINE FASHION NIGHT
KARIBUNI SANA wadau wote wa mitindo na tasnia zingine. pale REGENCY PARK HOTEL(MIKOCHENI) siku ya jumamosi tarehe 29th june 2012.
THANKS.
Tuesday, June 18, 2013
STEPS BONGO MOVIE AWARDS
Kwa muda mrefu sasa tasnia ya filamu TANZANIA imekuwa ikikabiliwa na changamoto nyingi,lakini mojawapo ni utoaji wa TUZO katika tasnia hii imekuwa hakuna kabisa ukilinganisha na ukubwa na ukuaji wa tasnia ya FILAMU hapa nchini.
Kampuni kubwa kabisa hapa nchini ya usambazaji wa kazi za wasanii STEPS ENTERTAINMENT imezindua rasmi mwaka huu TUZO za filamu na zitakuwa zikifanyika kila mwaka jamba ambalo wadau na wasanii kwa ujumla wameliongelea kama ni hatua kubwa sana na ukombozi wa wasanii wa maigizo nchini.TUZO hizo zitajulikana kama STEPS BONGO MOVIE AWARDS na kwa mwaka 2012-2013 zimefanyika pale BLUE PEAL ubungo plaza huku zikishuhudiwa na mamia ya watu na mamilioni ya watanzania kupitia TBC1 na CLOUDS TV.
Kwa mwaka huu wametoa vipengele vichache kama,muigizaji bora chipukizi,movie bora ya mwaka,muigizaji bora wa mwaka(mke\mme),tuzo za waliofariki,muongozaji bora,na nyingine nyingi huku wasanii kama JB,VICENT KIGOSI,IRENE UWOYA,STEVEN KANUMBA,ALLY YAKUTI,IRENE PAUL na wenginewo kuwa vinara wa TUZO hizo kwa mwaka huu.
Kampuni kubwa kabisa hapa nchini ya usambazaji wa kazi za wasanii STEPS ENTERTAINMENT imezindua rasmi mwaka huu TUZO za filamu na zitakuwa zikifanyika kila mwaka jamba ambalo wadau na wasanii kwa ujumla wameliongelea kama ni hatua kubwa sana na ukombozi wa wasanii wa maigizo nchini.TUZO hizo zitajulikana kama STEPS BONGO MOVIE AWARDS na kwa mwaka 2012-2013 zimefanyika pale BLUE PEAL ubungo plaza huku zikishuhudiwa na mamia ya watu na mamilioni ya watanzania kupitia TBC1 na CLOUDS TV.
Kwa mwaka huu wametoa vipengele vichache kama,muigizaji bora chipukizi,movie bora ya mwaka,muigizaji bora wa mwaka(mke\mme),tuzo za waliofariki,muongozaji bora,na nyingine nyingi huku wasanii kama JB,VICENT KIGOSI,IRENE UWOYA,STEVEN KANUMBA,ALLY YAKUTI,IRENE PAUL na wenginewo kuwa vinara wa TUZO hizo kwa mwaka huu.
Thursday, June 13, 2013
MUHIMBILI HOSP:UHAKIKA LANGA KILEO AMEFARIKI
Habari kutoka MUHIMBILI HOSPITAL zimethibitisha kwamba ni ukweli msanii maarufu wa bongo fleva LANGA KILEO amefariki dunia muda mfupi uliopita alipokuwa amelazwa kutokana na malaria kali...
Blog hii uwa haitoi habari za uongo na siku zote tuko hapa kukujuza habari za ukweli na uhakika.
Endelea kuwa hapa kwa habari zaidi ya kifo cha msanii LANGA...
Blog hii uwa haitoi habari za uongo na siku zote tuko hapa kukujuza habari za ukweli na uhakika.
Endelea kuwa hapa kwa habari zaidi ya kifo cha msanii LANGA...
Thursday, June 6, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)































