Welcome



WELCOME
TO THE WORLD OF ENTERTAINMENT AND INTERNATIONAL STARDOM


Thursday, April 3, 2014

hayawi hayawi...

Baadhi ya hizi sura zitaonekana sana katika kazi za FILAMU zinazokuja kutoka TRIPLE S INC. hivi karibuni,akiongea na blog hii meneja masoko wa kampuni iyo bwana ISACK JOHN amesema kampuni ya TRIPLE S INC. imejiandaa kikamilifu kuwaletea WATANZANIA burudani kemkem na za kutosha kutoka katika kampuni yao.Bw ISACK JOHN akuishia hapo bali aliwataja baadhi ya wasanii watakaoonekana sana katika FILAMU zao za hivi karibuni kwamba ni JUMA NKWABI,NANCY MANONGI,NANZA MBUJI,CHUCHU HANS,SULEIMAN BARAFU na wengine wengi bila kumsahau mkurugenzi wa kampuni iyo bw STEVEN SANDHU.




Wapenzi wa filamu kaeni tayari...

No comments:

Post a Comment